Mambo sita makubwa niliyojifunza kuhusu malezi

0 Views· 11/29/22
Aunt Sadaka's Lessons Podcast
0

Kwenye episode hii nataka kushare na wewe mambo sita makubwa niliyojifunza kuhusu malezi. Mimi kama mama ambaye nimelea mtoto wangu na watoto wengine wengi waliobahatika kupita kwenye mikono yangu haya ni mambo ambayo yalinifunza kwa kiasi kikubwa na kunifanya kubadilisha mtazamo wangu kuhusu malezi ya watoto. Kuna vitu tunafanya kwenye maisha yetu bila kujua kuwa kuna vurugu zilizopo ndani zinazotusukuma kufanya tunayoyafanya kama wazazi bila kujua tunajenga au kuharibu kiasi gani maisha ya baadae ya watoto wetu. Sikiliza halafu uniambie na wewe umejifunza nini kwenye comments hapo chini. Karibu.<br/><br/>Yaliyomo kwenye Episode hii.<br/><br/>00:03 Utambulisho <br/>00:50 A silent screamer maana<br/>01:23 Mama wa kambo si mama<br/>04:14 Usipandikize chuki <br/>04:53 Muonyeshe kwao ni wapi <br/>06:53 Busu paji la uso<br/>07:43 Vurugu zibaki kwa mke na mume<br/>08:48 Thamini ubinadamu wake<br/>09:28 Usimlinganishe mtoto wako unamvunja thamani<br/>10:20 Tafuta chanzo<br/>10:24 Jipendekeze kwa Mungu<br/>11:50 Usipige nduru anapokosea/usimtangaze<br/>12:46 Watoto wanaongea kwa hisia<br/>14:26 Muonyeshe kwa vitendo<br/>14:40 Mwisho<br/><br/><br/><br/><br/><br/><br/><br/><br/><br/><br/>Watch and Subscribe ; https://www.youtube.com/@auntsadakalessons<br/>Listen : https://linktr.ee/auntsadakalessons<br/><br/>Follow my Social Media accounts <br/><br/> https://twitter.com/auntsadaka<br/>https://www.instagram.com/auntsadaka/<br/>https://www.tiktok.com/<br/>https://www.facebook.com/auntsadaka

Show more

 0 Comments sort   Sort By


Up next