Mapinduzi ya kijeshi nchini Niger, mkutano wa Wakuu wa Afrika na Urusi

0 Views· 07/29/23
Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
0

Makala hii imeangazia mkutano wa viongozi wa Afrika na Urusi huko St Petersburg, Urusi, mapinduzi ya Niger, mkutano wa wakuu wa nchi za Afrika kule Daresalaam nchini Tanzania, upinzani wa Kenya ulitangaza kusitisha maandamano, Siasa za DRC na ufunguzi wa michezo ya Francophonie, hali ya Sudan na matukio mengine duniani.

Show more

 0 Comments sort   Sort By


Up next