Mila na tamaduni za watu wa Rumonge Kusini mwa Burundi, Andy Mwag msanii tishio jukwaani

0 Views· 08/23/23
Changu Chako, Chako Changu
0

Katika makala haya Jumapili ya leo Ali Bilali anakuletea mila na tamaduni za watu wa Rumonge kusini mwa Burundi, na kwenye muziki utamsikia msanii Andy Mwag mwanamuziki kutoka nchini Burundi ambae amekuwa tishio jukwaani katika muziki wa Live. Ambatana na mtangazaji wako mwanzo hadi tamati, na usiksahau kumfollow kwa instagram kwa kuandika @billy_bilali

Show more

 0 Comments sort   Sort By


Up next