Maswali ya Imani.
0
0
0 Bekeken·
06/28/23
Ungana na Mtangazaji Brigitha Msasalaga katika kipindi cha Maswali ya Imani, na Mada ilipo ni Kwanini wakristo wakatoliki wanafungiwa kupokea Masakramenti ikiwemo Ekaristi Takatuifu, Mwezeshaji Frateri Peter Mjwauzi kutoka Seminari kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho -Jimbo kuu la Songea.
Laat meer zien
0 Comments
sort Sorteer op
