Maswali ya Imani.
0
0
0 بازدیدها·
06/28/23
Ungana na Mtangazaji Brigitha Msasalaga katika kipindi cha Maswali ya Imani, na Mada ilipo ni Kwanini wakristo wakatoliki wanafungiwa kupokea Masakramenti ikiwemo Ekaristi Takatuifu, Mwezeshaji Frateri Peter Mjwauzi kutoka Seminari kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho -Jimbo kuu la Songea.
بیشتر نشان بده، اطلاعات بیشتر
0 نظرات
sort مرتب سازی بر اساس
